- Видео 1 749
- Просмотров 7 285 101
The Chanzo
Танзания
Добавлен 16 июл 2020
Uchambuzi, Habari, Maoni, Ripoti|Uchunguzi
Mchungaji Peter Msigwa Aishukia CHADEMA, Mbowe. Asema CHADEMA imegeuzwa kuwa 'SACCOS' ya Mtu Mtu
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA na Kiongozi mwandamizi wa chama hiko cha upinzani ambaye hivi karibuni alishindwa uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya kanda, Mchungaji Peter Msigwa ametangaza kuhamia CCM kwa kile alichokidai kuwa CHADEMA imepoteza uhalali na kwamba chama hiko kimegeuka kuwa SACCOS.
Msigwa ameyasema hayo mara baada ya kupokelewa CCM wakati wa mkutano mkuu wa NEC-CCM uliofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, ukiongozwa na Mwenyekiti wa Chama hiko Samia Suluhu Hassan.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: TheChanzo
INSTAGRAM: thechanzo
FACEBOOK: theChanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.t...
Msigwa ameyasema hayo mara baada ya kupokelewa CCM wakati wa mkutano mkuu wa NEC-CCM uliofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, ukiongozwa na Mwenyekiti wa Chama hiko Samia Suluhu Hassan.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: TheChanzo
INSTAGRAM: thechanzo
FACEBOOK: theChanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.t...
Просмотров: 271
Видео
Serikali ya Tanzania Kuiuzia Zambia Tani 650,000 za Mahindi
Просмотров 20118 часов назад
Tanzania na Zambia zimeingia makubaliano ya mauziano ya tani 650,000 za mahindi meupe yenye thamani ya shilingi bilioni 650, kufuatia hali ya ukame iliyoikumbuka Zambia kupelekea wananchi takribani milioni 7 kuhitaji msaada wa chakula. Mkataba wa makubaliano hayo umesainiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Dkt. Andrew Komba kwa upande wa Tanzania pamoja na Mra...
Mpina Aunguruma Baada ya Kusimamishwa Bunge, Asema Yupo Imara. Aahidi Kwenda Mahakamni Kudai Haki
Просмотров 2 тыс.18 часов назад
Mbunge wa Kisesa kupitia CCM, Luhanga Mpina amezungumza kwa mara ya kwanza tangu asimamishwe kuhudhuria vikao 15 vya Bunge hadi Novemba 2024. Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari Juni 29, 2024, Mpina amesema kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kamati ya Bunge haikumtendea haki katika sakata lilopelekea adhabu ya kusimamishwa Bungeni. Mpina ameeleza kuwa atampeka pia M...
Shangwe la CCM Wakimpomkea Mchungaji Peter Msigwa, Mwenyekiti wa CCM, Dk Samia Aimba "Mlete Msigwa"
Просмотров 6 тыс.20 часов назад
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA na Kiongozi mwandamizi wa chama hiko cha upinzani ambaye hivi karibuni alishindwa uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya kanda, Mchungaji Peter Msigwa leo ameonekana akipokelewa ndani ya ukumbi kinapofanyika kikao cha NEC-CCM chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan. Bado taarifa kamili kuhusiana na uwepo Msigwa katika kikao hiko haijatolewa. Una...
Lema Amshukia Mkurugenzi wa Babati Baada ya Kutaka Kuzuia Helikopta ya CHADEMA Kutua.
Просмотров 4,1 тыс.4 часа назад
Amezungumza haya kwenye mkutano wa hadhara wa CHADEMA uliyofanyika leo Jumamosi Juni 28, 2024 mjini Babati mkoa wa Manyara ni katika ziara ya chama hicho ya nchi nzima.
Mwanzo Mwisho Hotuba ya Mbowe Babati
Просмотров 7 тыс.4 часа назад
Leo Juni 28, 2024 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Taifa Freeman Mbowe amehutubua wananchi wa Babati Mkoani Manyara katika muendelezo wa ziara zake za kufanya mikutano ya hadhara ya chama hicho nchi nzima. Hata hivyo mapema kabla ya kaunza mkutano huo Mkurugenzi wa Babati amelalamikiwa na Chama hicho kuwa amezuia kwa muda shughuli za mkutano kufanyika katika eneo hilo na ...
Mbeya: Kaya Takribani 200 Zaiangukia Serikali Baada ya Kukumbwa na Mpasuko wa Nyumba, Ardhi.
Просмотров 1737 часов назад
Hawa ni wakazi wa kijiji cha Ngole, kata ya Ilungu wilaya ya Mbeya. Kwa muda wa takribani miaka mitano wamekuwa wakikumbana na changamoto ya mpasuko wa ardhi hali ambayo inawalazimu kuhamia eneo la Mwela. Eneo hilo limetengwa na Serikali ya kijiji hicho kwa ajili ya kuwahifadhi wananchi wanaokumbwa na changamoto hiyo. Eneo la Mwela wanalotakiwa kuhamia wananchi hao kwa sasa halina huduma za kij...
Jamhuri ya Uchawa. Muongozo wa Kujenga Taifa Lisilojiamini
Просмотров 5 тыс.9 часов назад
Katika mtazamo huu wa pili tunaangalia hali iliyopo katika jamii ya Tanzania, uchawa; hali ambayo ni kiungo muhimu cha kutengeneza taifa lisilojiamini. Tunatokaje kwenye hali hii? Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: TheChanzo INSTAGRAM: thechanzo FACEBOOK: theChanzo TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com Je, ...
LHRC Yachambua Bajeti ya Serikali 2024/25 , Yagusia Kikokotoo, Deni la Taifa, Vyanzo vya Mapato
Просмотров 2219 часов назад
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimefanya uchambuzi wa bajeti ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwaka 2024/25 ikiwa Bunge linaelekea kuhitimisha hoja ya bajeti hiyo. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: TheChanzo INSTAGRAM: thechanzo FACEBOOK: theChanzo TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: www.the...
Maandamano Nchini Kenya Yawaibuka Kenyatta na Odinga
Просмотров 8329 часов назад
Kufuatia maandamano na vurugu zilizotokea nchini Kenya siku ya Juni 25, 2024, Rais wa awamu wa nne wa nchi hiyo Uhuru Kenyata na Mwanasiasa mkongwe Raila Odinga wametoa matamko kukemea mauji yanayodaiwa kufanywa na vyombo vya dola dhidi ya waandamanaji. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: TheChanzo INSTAGRAM: thechanzo FACEBOOK: theChanzo TIKTOK: www.ti...
Mwigulu Nchemba: Tunakopa Sababu Sisi Ni Matajiri
Просмотров 8309 часов назад
Mwigulu Nchemba: Tunakopa Sababu Sisi Ni Matajiri
Waziri Mkumbo Akitoa Mrejesho wa Michango ya Wabunge Kuhusu Hali ya Uchumi na Mpango Kwa 2024/25
Просмотров 699 часов назад
Waziri Mkumbo Akitoa Mrejesho wa Michango ya Wabunge Kuhusu Hali ya Uchumi na Mpango Kwa 2024/25
Serikali Yaeleza Mkakati Wake Kuhusu Madini Adimu na Madini ya Kimkakati
Просмотров 17412 часов назад
Serikali Yaeleza Mkakati Wake Kuhusu Madini Adimu na Madini ya Kimkakati
Serikali Yatenga Kilomita 120 za Barabara Kujengwa na Wakandarasi Wazawa. Yaja na Mkakati Maalum
Просмотров 5412 часов назад
Serikali Yatenga Kilomita 120 za Barabara Kujengwa na Wakandarasi Wazawa. Yaja na Mkakati Maalum
Israel na Hezbollah wa Lebanon Kuingiza Kwenye Vita Kamili? Netanyahu na Nasrallah Watoa Kauli Nzito
Просмотров 8 тыс.12 часов назад
Israel na Hezbollah wa Lebanon Kuingiza Kwenye Vita Kamili? Netanyahu na Nasrallah Watoa Kauli Nzito
Mpina Afungiwa Vikao 15. Wabunge Wenzake Wamkaanga Vibaya. Aambiwa Atoke Bungeni
Просмотров 6 тыс.14 часов назад
Mpina Afungiwa Vikao 15. Wabunge Wenzake Wamkaanga Vibaya. Aambiwa Atoke Bungeni
Mgomo Kariakoo. Kwa nini Serikali Inahitaji Uthubutu Kufanya Mageuzi ya Kikodi | Mtazamo Wa Pili
Просмотров 3,6 тыс.14 часов назад
Mgomo Kariakoo. Kwa nini Serikali Inahitaji Uthubutu Kufanya Mageuzi ya Kikodi | Mtazamo Wa Pili
Maandamano Kenya: Rais William Ruto Njia panda, Azingatie Ushauri wa IMF au Wananchi
Просмотров 1,3 тыс.14 часов назад
Maandamano Kenya: Rais William Ruto Njia panda, Azingatie Ushauri wa IMF au Wananchi
Kamati Yamkaanga Mpina, 'Kalidharau Bunge, Ni Utovu wa Nidhamu'. Wabunge Wachochea Moto Apewe Adhabu
Просмотров 1,3 тыс.14 часов назад
Kamati Yamkaanga Mpina, 'Kalidharau Bunge, Ni Utovu wa Nidhamu'. Wabunge Wachochea Moto Apewe Adhabu
Serikali Yakubali Yaishe Mgomo wa Kariakoo. Mambo Sita Mazito ya Kutatua Kero Yatajwa
Просмотров 6 тыс.14 часов назад
Serikali Yakubali Yaishe Mgomo wa Kariakoo. Mambo Sita Mazito ya Kutatua Kero Yatajwa
Chalamila Awacharukia Wafanyabiashara wa Kariakoo, Apiga Biti Wale Watakaowazuia Waliofungua Maduka
Просмотров 4,5 тыс.14 часов назад
Chalamila Awacharukia Wafanyabiashara wa Kariakoo, Apiga Biti Wale Watakaowazuia Waliofungua Maduka
Sakata la mgomo wa Kariakoo latua Bungeni, Naibu Spika atoa Kauli Juu ya Taarifa Rasmi ya Serikali
Просмотров 49414 часов назад
Sakata la mgomo wa Kariakoo latua Bungeni, Naibu Spika atoa Kauli Juu ya Taarifa Rasmi ya Serikali
Tanzania na Guinea Bissau Zimetia Saini Mkataba Utakaoongoza Ushirikiano Kiuchumi na Kimataifa
Просмотров 28719 часов назад
Tanzania na Guinea Bissau Zimetia Saini Mkataba Utakaoongoza Ushirikiano Kiuchumi na Kimataifa
Uchambuzi wa Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2024/25 na ACT-Wazalendo
Просмотров 15819 часов назад
Uchambuzi wa Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2024/25 na ACT-Wazalendo
Mchinjita Alia na Bajeti 2024/24 Kutumika Kulipa Madeni na Matumizi ya Huduma za Utawala
Просмотров 18819 часов назад
Mchinjita Alia na Bajeti 2024/24 Kutumika Kulipa Madeni na Matumizi ya Huduma za Utawala
Kwa Nini Marekani na Ulaya Wamechukizwa na Ziara ya Putin Nchini Vietnam
Просмотров 23 тыс.21 час назад
Kwa Nini Marekani na Ulaya Wamechukizwa na Ziara ya Putin Nchini Vietnam
Tozo Kwenye Gesi. Ni Nani Aliyetuloga Watanzania? | Mtazamo wa Pili
Просмотров 2,5 тыс.21 час назад
Tozo Kwenye Gesi. Ni Nani Aliyetuloga Watanzania? | Mtazamo wa Pili
Fahari Wawili Wanaoitesa Sudan. Jenerali Abdel Fattah al-Burhan na Jenerali Mohammed Hamdan Dagalo
Просмотров 32221 час назад
Fahari Wawili Wanaoitesa Sudan. Jenerali Abdel Fattah al-Burhan na Jenerali Mohammed Hamdan Dagalo
Benki za Kibiashara Kubwa Afrika Mashariki. Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, Burudi, DRC, Somalia
Просмотров 19421 час назад
Benki za Kibiashara Kubwa Afrika Mashariki. Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, Burudi, DRC, Somalia
Mbunge Ataka Serikali Kutoa Taarifa Mradi wa LNG Lindi
Просмотров 118День назад
Mbunge Ataka Serikali Kutoa Taarifa Mradi wa LNG Lindi
Shenzi sana tena zaidi ya sana mbona huongelei tena bandari na misitu ukabiziwa wahuni kutoka uwarabuni
Mimi nafikiri unatafuta cheo tu wala si vinginevyo,ukikosa madaraka utakimbia tena. Ngoja tuone.
#NONSENSE
Ndo maana mm sihangaikagi
🇹🇿🇹🇿❣️
Kama jambo hilo ni la haku Kwa watanzania basi Mungu hatasimama
Hata samia hana lolote atawafukuza hata watu wakigoma ulizeni watu wakia na ngororo mungu wangu
Wanyooshe wezi haooo
Wakina lissu wengekusaidiya haya ndiyo matatizo
Siasa ni unafki mtupu
Mpaka aibu, dah msigwa😂😂
Kibaraka kwaheri kafie uko wasije wakuua na pesa zao walizokupa usaliti chama tulikuona mapemaa
Watanganyika hawaminiki
Mh haya
SHIDA HUNA UWEZO KUJENGA ILA UWEZO ULIYO KUWANAWO NIKWAKUVUNJA WEWE HUNA LOLOTE NENDA ZAKO UNATAKA KWENDA MNAFIKI MKUBWA
WEWE HAUNA MSAADA WAWANANCHI WEWE BUNGENI UKO KWA AJILI YA MASLAHI YA MAFISADI WEWE NICHIZI NENDA POPOTE
Umetumwa eeeh
Kama kwelii msigwa kajiunga na CCM Basi siasa ni mchezo mchafu
Msingwa umekwisha
🤔
Hata huko CCM wamtizame kwa jicho la tatu. Mimi nilisema mapema aende huko CCM sisi hatuko tayari Chadema kukaa naye ni msaliti kama wasaliti wengine. Myu mwenye uchu wa vyeo muogope kama ukoma. Afadhali amfuate ndugu yake huko.
Kafuata Udc au URC muda utasema, wanasiasa maslahi hao
Yaani hakuna anaejua alipo Juma Zangira?
💆💆💆💆😭😭😭😭😭
Kushindwa kura na sugu.kasepa
Kanunuliwa kishamba
Yuda mkubwa sana
Ccm nchimbi hii ni kaline nyingine nakuonea huluma chamama COVID Malaya wa kisiyasa kama musigwa zito anakuja hata lisu
Tuna juu hamuna upinzani wote chawa ila uchawa mungu ataufutiliya mbali chezeni comedy zina mwisho
Kwa kweli kufikia hapo naona hizi siasa ni kuchumia tumbo tuu na kutafuta umaarufu, si kweli kuwa usipochaguliwa basi unahama chama kwa hiyo ina maana madaraka ndiyo yalikushikilia kwenye chama hiyo niaibuuu muone aibuu.
Haahaa mtu anahama dini kisa kakosa usheikh au uchungaji😅
KAENDA HALAFU ANAENDA KUPEWA CHEO.MNAOPGA NIA CHAMA MNAACHWA. HYO INAITWA CCM YA FURSA.
Itakuwa kahaidiwa URC au UDC, muda utasema.Rushwaaass🤣
🎉🎉
AMEJIUNGA AMBAKO ALIKUWA ANAPASEMA VIBAYA SIO MDA HAFU WANANCHI BADO TUNAONA HUYU MTU ANAFAA KWELI. HUYU MTU SI ANATAFUTA VYEO TU ETY MCHUNGAJI NAE
Siamini!!!!!!
😮
Ewe mungu wetu tuoneshe viongozi wenye nia na Imani ya dhati na WA Tanzania na tepushia watu kama mchungaji msibgwa aliehamia CCM et kwakukisa uenyekiti wa chama kanda
😂😂Msigwa kaonesha rangi zake halis
Namuona Yuda eskarioti
Mbona Yuda eskarioti anajificha bahati mbaya hapa iringa maccm hatutawayapa kura zetu.
Kukataa kupewa umwenyekiti😅umeamua kusepa aisee watu ni wakuda😂tutaona mengi kwaiyo huko utakua mwenyekti
Huko kafuata Udc, URC na ukurugenzi🤣🤣
@@dennisungonella205 mkuda sana huyo
Hawa ndio watu msiwai kuwaamini kabisaaa,wanasiasa kama maalaya tu😂😂😂😂
Nikweli
Haiwasadii,
Duuuuu, aaaaaaaaaaa, aiseeeeee, mmmmmmm
Hatari sana
Pesa ya Abdul
Tunakutakia safari njema
👀👀👀👀👀👀 siamini macho yangu yani msigwa kabisa nae kanunuliwa? duuu nimeamini dunia imeisha
Hata Mimi siamini macho yangu
Kanunuliwa na Na nani wewe na bado hiyo ndio CCM
@@user-bs2nr7gz5p hahahahaa kweli ccm imeishiwa hoja sasa msigwa atawasaidia nini
@@ramadhanmahongole9293 kesho utasikia tundu nae kajiunga hao ni wanaadam kwani la ajabu ni lipi?
Big up keep it up
Nunuanunua ya fisiemu imeanza kaeni chonjo chadema tunataka tubaki na chadema halisi
Hahahaha,,,,, tatizo la chama chenu ni Sacco's ya mtu
Safi sanaaa
@@jumakapilima7295 chadema ni Chama kikubwa kuliko ccm ukitaka kuamini hilo weka tume yao pembeni weka polisi pembeni chadema na ccm wachuane uone Chama gani ni saccos ccm imesha kufa umebaki kuwa saccos tu ndomana inaufyata kuleta mabadiliko ya katiba kuelekea kwenye uchaguzi wanang'ang'ania katiba ya 1977 inayo wabeba na tume yao ya uchaguzi na police ili kushinda chaguzi bila police na refa wao tume ya uchaguzi ccm hawana ubavu wa kushindana na chadema kwa sasa
Mbona kama siamini mimi jamani, my God?
Mchumia tumbo kama nyinyi
😂😂😂Akili za hawa aisee
We ni jizi , ipo siku tutawafanya kama kenya
Pumziken kwa amani groly na mdg wake
Uchokozi wanao sana ila Israel ikiwapiga waasingizia watoto wadogo .....
Yani tax system ni wizi mtupu .ulio halalishwa .. ...yani hata ukiuza nyumba yako mwenyewe bado unatakiwa ulipie kodi.. ...na uliinunua kwa hela ambayo ulishaa ilipia kodi .....duuu hawa nimajambazi kabisa